
Swahili newstz
yllix
Thursday, 9 January 2020
CR7 wants to leave juventus

Tuesday, 21 May 2019
Friday, 8 March 2019
Thursday, 14 February 2019
Monday, 15 January 2018
Sunday, 14 January 2018
Thursday, 26 January 2017
Umalaya wa mastaa wa bongo wazidi ?Je wataka kuwajua hawa apa chini
Sunday, 24 July 2016
Hatari Demba Ba agoma kung"atuka katika soka
![]() |
Demba Ba |
Thursday, 21 July 2016
Mama Wema afunguka kuhusu mahusiano ya Diamond na Wema
![]() |
DIAMOND AND WEMA |
Mke wa Trump ashtukiwa kwa wizi wa kunakili hotuba ya Michelle Obama
![]() |
Melania Trump |
Wednesday, 20 July 2016
Ni noma Neymar ampigia saluti Ronaldo,amtabiria tuzo ya mchezaji bora wa dunia
![]() |
Neymar |
Monday, 18 July 2016
Kante asaini rasmi chelsea
![]() |
N"golo Kante chelsea |
Monday, 4 July 2016
The legend of Tarzan by Alexender skargurd
Sunday, 3 July 2016
Gold:Payet could leave for barcelona or Real madrid
West ham co-chair man David Gold finally he has admited Dimitri Payet could leave the club .if Barcelona or Real madrid come calling .The midfilder has stared for hosts France at Euro 2016 ,stacking his claim to be named as player of the tournament.
![]() |
Dimitri payet(france) |
Michuano ya Euro Ufaransa yapamba moto
Lekea mwisho wa fainali za EURO nchini Ufaransa .Mechi za nusu fainali zimeendelea kuchezwa na jana Italia waliambulia kichapo cha mikwaju ya penati dhidi ya Ujerumani.Na leo nusu fainali ya mwisho itachezwa majira ya saa nne kamili usiku ,ikizikutanisha timu ya wenyeji wa mashindano Ufaransa na Kibonde wa Uingereza iceland
![]() |
France national team |
Tuesday, 10 May 2016
Angalia goli la kwanza la West ham la sakho dhid ya man united leo
Friday, 22 April 2016
Angalia video ya magoli ya liverpool na Everton
Thursday, 21 April 2016
Angalia video ya magoli ya manchester united jana
Ulikua ni ushindi mnono wa mashetani wekundu hao baada ya kushinda mabo mawili bila ,. Magoli ya man u yalifungwa na damian pam9ja na beki wa timu pinzani kujifunga meanyewe
Timu. Zilizofuzu hatua ya klabu bigwa Africa
Monday, 18 April 2016
Angalia goli la Mbwana sammata
Angalia video ya goli la bolasi na arsenal
Friday, 15 April 2016
Sterring castro bdrnard "Neymar7" kijana wa Kitanzania anayetisha uganda daraja la kwanza
. castro bernard kulia mtanzania anayesumbua daraja la kwanza uganda. Amakweli vipaji vipo Tanzania lakini havionekani , hili limeonekana kutoka na kijana aliyekulia katika academy ya shule ya lord baden kwa 'Omary iid kipingu "pwani na kukimbilia Uganda na wenzake wawili Baruani yahya akilimali, na sudi mlindwa , kwa kweli dgo anajua na nilipo muuliza alinijibu haya . castro--bado nakomaa na mpira , japo mpira wa bongo haulewiki ndo maana nimeamua kuja kuanzia uganda , nilivheza polisi Mara lakini malipo yalikua shida sana ndo maana nikakimbilia huku .
Mechi za nusu fainali uropana uefa zajikana ,"Ronaldo arudishwa England
Hizo ndizo mechi zitakazoendelea katika ligi kuu ya mabingwa ulaya na uropa , Ronaldo arudisha England na man ciy
Did u want to known the nominated player of the year in EPL
Hawa ndio wachezaji walio chaguliwa kugombea tuzo ya mchezaji bora wa Epl mwaka huu. 1. Mesut ozil-Arsenal. 2. Harry kane-Toteham. 3. Kante -lecester city. 4. Marhez-lecester city. 5Jamie Vady-lecester city. 6. Payet-west ham united
Thursday, 14 April 2016
Diamond platnum"Nasibu Abdul" amvuruga Zari"the boss lady" sweden
Diamond platnum with Zari "The boss lady" |
The former champions of Eufa Barcelona from spain are out of the compitation "
The former champions of Uefa barcelona yesterday night they were ckicked out of the compitation by their fellow frends from spain Antletico madrid"from spain ,by 2-0 which makes the aggregate of 3-2 . The barcelona player and the footballer of the year 2015 in thd world Lionel messi failed to scored for almost 5 matches up to nw. Bayen munich faced the draw against the home timu benfica in portugal
Wednesday, 13 April 2016
Je unawajua wachezaji wenye umri mdogo wanaogombea tuzo ya uchezajii bora msimu huu ligi kuu ya uingereza
1. Delle ally -Totteham 2. Backley-Everton. 3. Philipe countinho-liverpool. 4. Harry kane -Totteham. 5. Lomelu lukaku-Everton. 6. Jack Butland-stock city. Kwa mpaka sasa tuzo hio bado inashikiliwa na mshambuliaji wa totteham Harry kane, na kwa kipindi hiki philipe countnho anapewa nafasi kubwa sana ya kushinda tuzo hio
Its a seriously war today where by antletico madrid will play barcelona
Katika usiku wa leo wa uefa champions legue antletico madrid wataikaribisha barcelona katika mchezo wao wamarudiano utakao pigwa majira ya saa 9:45pm in East africa time . nNa kama barcelona watashinda itakua ni furaha pia kwa legend mstaafu 'Carlos poyol 'ambaye anatimiza miaka 38leo..
Je wamjua mrithi wa Ally salehe "king kiba" kwa. Jojo"Joketi mwangelo huyu hapa mshikaji afunguka
Starick pichani akiwa katika ubora wake mwanamuziki anayetisha na wimbo wake wa "nipe wakaseme" Sitta Richard"Starick amefunguka na kusema yupo katika harakati za kuhakikisha anamrithi Ally Salehe"king Kiba" kwa mwanadaa 'Jokate Mwangelo"jojo"kwani huyu binti anamzimikia sana .
Na anakosa raha kabisa akiwaona wawili hao katika mahusiano .Anasema katika kitu kicho mfurahisha na kumpa moyo ni baada ya Jojo" kufungiana vioo na King kiba" nilikua nammendea "Jojo" tangu kitambo na nampenda sana wakati wowote anaweza kusikia lolote kati yetu
Pichani ni mwanamitindo Joketi 'Jojo' |
Children mega -recruitment in boko haramu
Account za instagram za mastaa wawili bongo za verfied
![]() |
Pichani ni vannesa mdee'V money, na idris sultan |
Tuesday, 12 April 2016
Angalia moja ya magoli aliyofunga Christin Ronaldo usiku wa leo na wolfburg
John Magufuli-Tanzanian's "Bulldozer Presidentin profile
The son of the peasent farmer, John Pombe Magufuli |
Mambo usiyoyajua kutoka kwa 'Mo Music "hayaapa
Rock city 'Mwanza"ni miongoni mwa miji iliyoendelea kwa kasi nchini Tanzania 'ambopo kwenye code ya burudani wapo juu sana na wanatisha kwa kutoa wasanii wenye majina makubwa nchini kama Fid Q, Pnc, Young killer, Rado, Barakah Da prince na wengine wengi katika ardhi hiyo amekulia msanii wa bongo fleva ambaye anafanya vizur kwa sasa Moshi Katemi'Mo Mosic"staa wa wimbo wa 'basi nenda", nahapa anfunguka mambo ambayo anadai hatuyafahamu kuhusu yeye. 'ATENDWA ATASUA KIMZIKI" Mo music anasema mafanikio yake kayapata kutokana na kutendwa kimapenzi ๐๐๐๐wakati yuko secondary huko 'Rock city"., anasema alianza mahusiano akiwa kidato cha pili na baada ya kumaliza kidato cha nne na msichana wake huyo kufaulu kuendelea kimasomo mkoani 'Kilimanjaro"mambo yalibadilika jambo lililo mvunja sana moyo na kumpelekea kutunga wimbo wa 'Basi nenda"uliovuma sana nchini.......... MO anasema alianza gem akiwa rapa , nilirekodi ngoma yangu ya kwanza mwaka 2010 iitwayo 'NAKUDANGANYA" baadae nilibadilika baada ya kukutana na producer wangu Lol Pop na kugundua kua nina kipaji cha kuimba... Mo anaendelea kusema kati ya vitu vinavyonisumbua akili yangu ni menegment mbovo niliyo nayo iitwayo 'Aljezeera"ambayo iko chini ya Mac Danes, hanisaidii kitu chochote na badala yake nimegeuka kama busness partiner swala ambalo linanisumbua sana... MO anazidi kusema watu hawezi amini ila kwa sasa sipo kati uhusiano wa kimapenzi na mwanamke yeyote yule , kutokana na akili yangu kutokua sawa . Anamaliza 'Mo Music"
Monday, 11 April 2016
Mechi za marudiono za Uefa champions legue kuendelea leo
![]() |
Real madrid wakishangalia |
Kanye West agonga shoo yake ya kwanza ya ',The life of Pablo.
The king rapper of hip-hop in the world Kenye West 'Yeezy"kwa mara ya kwanza tangu aachie album yake mpya , amefanya shoo ya nguvu ya kuitambulisha album yake mpya 'The life of Pablo, "kwenye tamasha la Paradise International music festival lililofanyika nchini phillipines juz jumamosi (April 9). Miongoni mwa nyimbo alizogonga rapa huyo ambozo zimo pia ndani ya album yake ni 'Famous" hii ilikua shoo yake ya kwanza kwa Kenye West 'Yeezy"kwa mwaka 2016 kuifanya nchini phillipines, Tamasha hiloo lilikua na wakali pia kama Wiz khalifa, Airo jock na Austin Mohone
HAPPY BD DELLE ALY
Angalia video ya Mtanzania Mbwana Ally Sammata akitikisa nyavu
Mashabiki wa timu ya Genk inayoshiriki ligi kuu ya belgium , wamekuwa na furaha baada ya kuona mtanzania mbana ally sammata akitupia goli safi , katka mchezo huo kijana huyo wa kitanzania iliiwezesha timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhid ya timu pinzani , licha ya kutokea sub but still kazi yake inaonekana๐ฏ⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽⚽
Nkumba university cultural gala
Wabongo watkisa culture galla uganda
Habariij zenyuuu bhanaaaaa!!! Watanzania tukiwezeshwa tunaweza hawa ni moja wapo ya wabongo waliotisha na kutikisa katika culture galla on da past saturday
KUTANA NAYE MKALI WA ACHANA NA MIMI NZAYA DON NGONSHA AKIZUNGUMZIA HISTORIA YA MAISHA YAKE
CASTRO ON AIR WWW.CASTROBERN11.BLOG SPOT.COM
mkali wa sasa wa hip-hop nchini Tanzania atesa na kutikisa jukwaa kwa wimbo wake mkali wa achana na mimi.
wimbo huu umevuma kila media zote nchini tanzania na kupigwa Trace TV.MTVBASE.ukiwa wa kwanza katika top 5 kwa wiki tatu mfululizooo.wimbo huu jamaa yetu amemshilikisha Mirror na umeproduciwa na Mr T,touch.ktok pande za Dar.
Huyu jamaa ametisha sanaaaaaaaa
mkali wa sasa wa hip-hop nchini Tanzania atesa na kutikisa jukwaa kwa wimbo wake mkali wa achana na mimi.
wimbo huu umevuma kila media zote nchini tanzania na kupigwa Trace TV.MTVBASE.ukiwa wa kwanza katika top 5 kwa wiki tatu mfululizooo.wimbo huu jamaa yetu amemshilikisha Mirror na umeproduciwa na Mr T,touch.ktok pande za Dar.
Huyu jamaa ametisha sanaaaaaaaa
Subscribe to:
Posts (Atom)