 |
DIAMOND AND WEMA |
Mama mzazi wa muigizaji na miss Tanzania Wema Sepetu ameweka wazi mahusiano ya mwanae na Nassibu Abduli alimaharufu kama Diamond platnum.Mama mzazi wa Wema alisema wawili hao wapo katika mahusiano japo ni kwa siri sana ,ili Zari asiweze kugundua mahusiano yao.Licha ya wawili hao kukanusha lakini ukweli ndio huo na mam wema akiri.
No comments:
Post a Comment